LOVESTORY MOVIES🔞 WAKUBWA TU

Ingia Hapa

Thibitisha Umri Wako

Je wewe ni mpenzi wa simulizi?

Hii ni kwawadau wanaopenda kusoma simulizi bonyeza button hiyo juu kisha chagua aina ya simulizi..

KARIBU KWA HUDUMA KAMA | GRAPHICS DESIGNER | MOVIES NA SERIES FULL HD | HUDUMA ZA MTANDAONI | VIFAA VYA COMPUTER NA MATENGENEZO | VIFAA VYA SIMU NA MATENGENEZO | KUTENGENEZEWA WEBSITE/BLOGS | WASILIANA NASI KUPITIA LIVE CHATI HAPO CHINI AMA TUPIGIE SIMU YA OFISI 0262605123

KAA KARIBU NASI KWA KUJIUNGA KATIKA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPO CHINI

KWA WATEJA WETU WA MBALI LIPIA HUDUMA HAPA NA THIBITISHA MALIPO YAKO NASI TUKUHUDUMIE KWA UAMINIFU MKUBWA
📱JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP

TANGAZA HAPA 🎉CHEZA USHINDE ZAWADI💰

LOVE DON'T COAST A THING

Alikuwa mwanamke mrembo katika chuo Chao na yeye alilijua hilo,tembea yake na tabasamu lake liliwachanga wanaume wengi na kutaka awe wao

Christina alikuwa toto la kishua,kwao pesa ipo hivyo wanaume wengi domo zege na walala hoi wakawa wanaogopa kumtokea na kuishia kumsindikiza kwa macho anapokatiza na kukwea mringoti kwa mkono mmoja

Siku moja Mama yake Christina alisafiri na kumuacha Binti yake nyumbani, Christina akaona ndio muda wa kujiachia akachukua gari la mama yake na kwenda kupiga nalo misele maeneo mbalimbali ikiwemo chuoni kwao

Bahati mbaya alipata ajali ndogo gari likaharibika,kuepusha shali mama yake akirudi asitambue kitu ilibidi upesi atafute mafundi chuoni hapo anaposoma

Kutokana na namna gari lake lilivyoharibika aliambiwa itachukua muda wa wiki mbili kurekebisha gari lake""wiki mbili zilikuwa nyingi kwa Christina maana mama yake karibu anarudi  safari""

Ndipo alipojitokeza moja ya fundi chuoni hapo aitwae Nick moja ya mwanaume ambae huwa anamtamani sana Christina lakini hajui atamuingia kwa gia ipi mtoto huyo wa kishua

Akajikaza akamwambia tatizo la gari lake atalifix kwa muda wa siku chache...hakutaka malipo.. lakini alimuomba bibie amsaidie jambo moja...waigize kama wapenzi chuoni hapo kwa muda wa wiki mbili 😱

Fresh Si Kuigiza tu..na hatufanyi jambo🤔 bibie akaona jambo rahisi kikubwa gari litengenezwe.. akaridhia ombi la Nick

Shida ni kwamba pigo za Nick zilikuwa za kishamba,kutupia code Kali hajui,mwendo na ongea yake vinadhihirisha wazi ni choka mbaya hivyo akawa anamuaibisha bibie chuoni hapo pale walipoonekana pamoja 

Bibie akaona siwezi vumilia aibu hizi kwa wiki mbili na huyu Old fashion,akaamua kugharamia akamtoa kwenda kumbadirisha mtindo wake wa nywele,mavazi ya kisasa hali kadharika ongea yake na mitindo mbalimbali ya kishamba aliyokuwa nayo

Inatakiwa Nick afanane kwa kilakitu na bibie,ndani ya muda mfupi baada ya bibie kuingia gharama na kutumia muda wake kumbadirisha Nick nyota yake na uhandsome uliofichwa na shida na ushamba ukaanza kuonekana

Mabinti wengi chuoni hapo wakatamani kuwa nae,Nick alivimba kichwa na kujiona matawi akavunja urafiki na marafiki zake walalahoi,ndani ya muda mfupi akawa star kuliko hata bibie Christina 

Akawa hamzingatii tena bibie,kamzowea tayali kwahiyo anataka radha mpya..shida ni kwamba ndani ya muda mchache walioigiza wanatoka pamoja tayali bibie alikuwa kaanza kumpenda Nick serious 😱

Kaonja asali kwahiyo anataka achonge mzinga,Nick sahivi hamzingatii na kumsikiliza Tena bibie yuko bize na marafiki wapya na wanawake wengine,kinyago kakichonga Binti mwenyewe sahivi kinamsumbua

Nini hatima ya penzi lao..
Ni single movie ipo wasiliana nasi 

Post a Comment

Previous Post Next Post